Luka 14:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Lakini wakati unapoalikwa, kwenda kuikaa kwenye viti vya nyuma, kusudi wakati yule aliyekualika atakapokuja, akuambie: ‘Rafiki, jongea huku mbele zaidi.’ Na halafu utaheshimiwa mbele ya wote unaoikaa pamoja nao kwa kula. Δείτε το κεφάλαιο |