Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 12:47 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

47 “Mutumishi anayejua mapenzi ya bwana wake, lakini anakosa kujiweka tayari na kutofanya sawa na mapenzi ya bwana yule, atapigwa fimbo nyingi.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 12:47
14 Σταυροειδείς Αναφορές  

Muwaue wazee palepale, vijana wanaume na wabinti, watoto na wanawake; lakini kila mumoja mwenye kuwa na kitambulisho, musimuguse. Muanzie katika hekalu langu. Basi, wakaanza na wazee waliokuwa mbele ya nyumba ya Yawe.


Halafu Petro akamwuliza Yesu: “Bwana, mufano huu unatuelekea sisi wenyewe au unawaelekea watu wote?”


Basi bwana wa mutumishi yule atakuja siku asiyozania, na saa asiyoijua. Naye atamupiga vikali na kumwazibu sawa na watu wasiokuwa waaminifu.


Yule anayenikataa na asiyekubali maneno yangu atahukumiwa kufuatana nayo. Ni lile neno nililosema ndilo litakalomuhukumu siku ya mwisho.


Yesu akamujibu: “Wewe hauna mamlaka yoyote juu yangu, isipokuwa tu yale uliyopewa na Mungu toka juu. Ni kwa hiyo, yule aliyenitoa kwako anabeba zambi kubwa zaidi.”


Yesu akawajibu: “Mungekuwa vipofu, hamungekuwa na zambi. Lakini kwa maana munajidai kwamba munaona, mungali katika zambi.”


Mungu hahesabu tena nyakati zile watu walipokuwa katika ujinga, lakini sasa anatangaza kwa watu wote, na nafasi zote kwamba wageuke toka zambi zao.


Basi, mutu anayejua kutenda mema wala hayatendi, anafanya zambi.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις