Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 12:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 “Na kila mutu anayesema vibaya juu ya Mwana wa Mutu atasamehewa, lakini kila mutu anayemutukana Roho Mutakatifu, hatasamehewa.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 12:10
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Halafu Yesu akasema: “Baba uwasamehe, kwa maana hawajui jambo wanalofanya.” Waaskari wakagawanya nguo zake kwa kuzipigia kura.


Ingawa zamani nilikuwa mwenye kumutukana, mwenye kumutesa na kumutendea kwa ukali, lakini amenihurumia, kwa sababu yote niliyofanya, niliyafanya kwa upumbafu kwa maana sikukuwa bado na imani.


Mutu akimwona ndugu yake anafanya zambi isiyoleta kifo, anapaswa kumwombea kwa Mungu, Mungu atamupa mutu yule uzima. Jambo hili linaelekea wale wanaotenda zambi isiyoleta kifo. Maana kuna zambi inayoleta kifo lakini sisemi kama ataomba juu ya hiyo.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις