Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 11:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Halafu anakwenda kutwaa pepo wengine saba wanaokuwa wabaya kumupita, nao wanaingia na kukaa mule. Na hali ya mwisho ya mutu yule inageuka mbaya kuliko hali yake ya kwanza.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 11:26
11 Σταυροειδείς Αναφορές  

Nitawaangamiza wote walioniacha mimi Yawe, wote walioacha kunitafuta na kuniuliza shauri.


Halafu anakwenda kutwaa pepo wengine saba wanaokuwa wabaya kumupita, nao wote wanakuja kuingia na kukaa mule. Na hali ya mwisho ya mutu yule inageuka mbaya kuliko hali yake ya kwanza. Na hivi ndivyo itakavyokuwa kwa watu wa kizazi hiki kibaya.”


“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munasafiri kuvuka bahari na inchi mbalimbali kusudi mupate kumugeuza hata mutu mumoja tu kuwa mufuasi wenu. Nanyi munapomupata, munamufanya kuwa mwenye kustahili azabu ya jehenamu mara mbili zaidi kuliko ninyi.


Anaporudia, anaikuta wazi bila mutu, nayo imefagiliwa na kupambwa vizuri.


Yesu alipokuwa akisema maneno hayo, mwanamuke mumoja kati ya kundi la watu akasema kwa sauti kubwa: “Heri mwanamuke yule aliyekuzaa na kukunyonyesha!”


Kisha Yesu akamukuta mutu yule ndani ya hekalu, akamwambia: “Angalia, sasa umepona. Basi usifanye zambi tena, kusudi jambo baya zaidi lisikufikie.”


Mutu akimwona ndugu yake anafanya zambi isiyoleta kifo, anapaswa kumwombea kwa Mungu, Mungu atamupa mutu yule uzima. Jambo hili linaelekea wale wanaotenda zambi isiyoleta kifo. Maana kuna zambi inayoleta kifo lakini sisemi kama ataomba juu ya hiyo.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις