Luka 10:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200234 Akajongea karibu naye, akamutunza vidonda, akivimwangia divai na kuvimimia mafuta na kuvifunga na vitambaa. Kisha akamupandisha juu ya punda wake, na kumupeleka kwenye nyumba ya kupangisha wageni na kumuchunga. Δείτε το κεφάλαιο |