Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Luka 1:65 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

65 Basi watu wote waliokaa karibu naye wakashikwa na woga, na habari ya mambo haya yote ikaenea fasi zote katika inchi ya vilima vya Yudea.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Luka 1:65
12 Σταυροειδείς Αναφορές  

Yesu alizaliwa Betelehemu katika Yudea wakati wa utawala wa mufalme Herode. Kisha kuzaliwa kwake, watu wenye elimu kutoka mashariki wakafika Yerusalema.


Katika siku zile, Maria akafunga safari, akaenda kwa haraka katika muji mumoja uliokuwa katika vilima vya Yudea.


Na wote waliosikia habari ile waliyoieleza wakashangaa.


Wote wakashangaa na kushikwa na woga, wakamutukuza Mungu wakisema: “Leo tumeona mambo ya ajabu.”


Watu wote wakashikwa na woga, nao wakamutukuza Mungu, wakisema: “Nabii mukubwa ametokea tena kwetu! Mungu amekuja kuwasaidia watu wake.”


Wakaaji wote wa Efeso, Wayuda na Wagriki wakajua habari hii. Halafu wote wakashikwa na woga na wakalitukuza jina la Bwana Yesu.


Kila mumoja wao akaingiwa na woga, nao mitume walifanya maajabu na vitambulisho vingi.


Halafu, kanisa lote na wote waliosikia habari ile wakashikwa sana na woga.


Anania aliposikia maneno hayo, mara moja akaanguka chini na kufa. Na wote waliosikia habari ile wakashikwa sana na woga.


Basi, Yoshua aliiteka inchi yote; akawashinda wafalme wa sehemu za milima, eneo la Negebu, na sehemu za inchi ya bonde na miteremuko. Hakuacha kitu chochote chenye uzima lakini aliangamiza kila kitu kama vile Yawe, Mungu wa Israeli, alivyoamuru.


Wagibeoni wakapeleka ujumbe kwa Yoshua kule katika kambi Gilgali, wakamwambia: “Tafazali, usitutupilie sisi watumishi wako. Ukuje mbio utusaidie na kutuokoa kwa maana wafalme wote wa Waamori kutoka inchi ya milima wamekuja kutushambulia.”


Lakini nyuma ya zile siku tatu na nusu, pumzi ya uzima inayotoka kwa Mungu ikaingia ndani ya maiti zao, nao wakasimama. Na watu wote waliowaona wakashikwa na woga mukubwa.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις