34 Maria akamwuliza malaika: “Jambo hili litawezekana namna gani kwa maana mimi ningali bikira?”
Yeye atatawala taifa la Israeli hata milele, nao ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
Malaika akamujibu: “Roho Mutakatifu atakufikia, na uwezo wa Mungu Mukubwa utakufunika kama vile kivuli. Kwa sababu hii mutoto yule atakayezaliwa ataitwa Mutakatifu na Mwana wa Mungu.
Lakini simama, uingie katika muji, na mule watakuambia jambo unalopaswa kufanya.”