Isaya 9:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Waasuria kwa upande wa mashariki, Wafilistini kwa upande wa magaribi, wamepanua vinywa vyao kwa kuimeza Israeli. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu. Δείτε το κεφάλαιο |