Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Isaya 48:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kwa hiyo nilikutangazia mambo yale tangu zamani, mbele hayajatukia, mimi nilikujulisha, kusudi usiseme: Ni sanamu yangu iliyotenda mambo hayo, sanamu zangu za chuma ndizo ziliyaagiza.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Isaya 48:5
10 Σταυροειδείς Αναφορές  

Muangalie, mimi ninafanya kitu kipya. Kinafanyika sasa hivi, nanyi mutaweza kukiona. Nitafanya njia katika mbuga, na kububujisha mito katika jangwa.


Ni nani mungu anayekuwa kama mimi? Muache atangaze na kusema wazi mbele yangu. Nani alitangaza hapo zamani mambo ambayo yatatukia? Watuambie yale ambayo bado yatatokea.


Enyi watu wangu, musiogope wala musikuwe na hofu, Sikuwaambia tangu zamani mambo yatakayotokea? Ninyi ni washuhuda wangu. Kuna mungu mwingine isipokuwa mimi? Kuna mwenye nguvu mwingine? Yule simujui!


Enyi watu wa mataifa muliobaki, mukusanyike pamoja mukuje! Ninyi mumekosa akili: ninyi munabeba sanamu za miti na kumwomba mungu asiyeweza kuokoa watu.


Nilitangaza mambo ya mwisho tangu mwanzo, tangu zamani nilitangaza mambo yatakayotukia. Kusudio langu litatimia; mimi nitatimiza nia yangu yote.


Nilitangaza zamani matukio ya mbele, niliyatangaza mimi mwenyewe na kuyafanya yajulikane kwenu. Mara moja nikaanza kuyatimiza, nayo yakapata kutukia.


Ni sawa alivyosema zamani kwa njia ya manabii wake watakatifu.


Ni vile Bwana anavyosema, yeye aliyejulisha mambo haya tangu zamani za kale.’ ”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις