Isaya 39:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Wakati huo, mufalme Merodaki-Baladani mwana wa Baladani, mufalme wa Babeli, aliposikia kwamba Hezekia alikuwa mugonjwa na sasa amepona, alimutumia wajumbe waliomupelekea barua pamoja na zawadi. Δείτε το κεφάλαιο |