Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Isaya 38:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Huko kuzimu mutu hawezi kukushukuru wewe; waliokufa hawawezi kukushukuru wewe. Wala wanaoshuka kule katika shimo hawawezi tena kutumainia uaminifu wako.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Isaya 38:18
12 Σταυροειδείς Αναφορές  

Zaburi ya Daudi. Ninakulilia, ee Yawe! Ewe kikingio changu, usikuwe kama kiziwi kwangu. Usikuwe kama haunisikilizi, nisikuwe kama wale wanaoshuka katika shimo la wafu.


Nilikulilia wewe, ee Yawe; nilikusihi, ee Yawe:


Unigeukie, ee Yawe, uniokoe; uniponyeshe kwa sababu ya wema wako.


Huko kwa wafu hakuna anayekukumbuka; katika kuzimu ni nani anayeweza kukusifu?


Mwovu anaangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwenye haki atapata usalama kwa uaminifu wake.


Kila kitu unachotaka kufanya ukifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima kule katika kuzimu unakokwenda.


Basi, wao, pamoja na vyote vilivyokuwa vyao wakashuka kuzimu wakiwa wangali wazima. Udongo ukawafunika, wote wakatoweka.


Halafu hawa watakwenda kwenye nafasi watakapoazibiwa kwa milele, lakini wenye haki wataingia kwenye uzima wa milele.”


Lakini wale waliopaswa kushiriki katika Ufalme ule watatupwa inje kwenye giza, na kule watalia na kusaga meno.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις