Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Isaya 3:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 nguo nzuri, shemizi nzuri, vioo na vitambaa mbalimbali.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Isaya 3:23
14 Σταυροειδείς Αναφορές  

na kumwuliza mutumishi wa Abrahamu: “Ni nani yule mutu anayetembea kule katika shamba, anakuja kutupokea?” Yule mutumishi akasema: “Ni bwana wangu.” Basi, Rebeka akatwaa kitambaa chake, akajifunika uso.


Halafu, mufalme akavua pete yake ya muhuri kwenye kidole chake na kumuvalisha Yosefu. Akamuvalisha na nguo za kitani safi na mukufu wa zahabu kwa shingo.


Daudi alikuwa akivaa kanzu ya kitani safi, hata vilevile na Walawi wote waliobeba sanduku, waimbaji na Kenania kiongozi wa waimbaji. Zaidi ya kanzu ile, Daudi alikuwa akivaa kizibao cha kitani.


Kisha akatengeneza birika la shaba na tako lake la shaba. Birika hilo lilitengenezwa kwa kutumia vioo vya shaba vya wanawake waliotumika kwenye mulango wa hema la mukutano.


Walinzi wa muji walinikuta, walipokuwa wakizunguka katika muji. Wakanipiga na kuniumiza; nao walinzi wa mulango wakaninyanganya ushungi wangu.


nguo za sikukuu, kanzu, vitambaa vya kichwa na mifuko ya mikono,


Kwa pahali pa harufu ya marasi watatoa uvundo; kwa pahali pa mikaba mizuri watatumia kamba; kwa pahali pa nywele nzuri watakuwa na upaa; kwa pahali pa nguo nzuri watavaa magunia; uzuri wao wote utageuka kuwa haya.


Utwae mawe ya kusagia, usage unga kama mutumwa! Vua kitambaa chako, pandisha kanzu yako! Onyesha miguu yako kwa kuvuka mito.


Nilikuvalisha vilevile nguo iliyopambwa vizuri na viatu vya ngozi nzuri. Nikakuvalisha mukaba wa kitani safi na kitambaa cha hariri.


Kisha akawaambia wamuvalishe kitambaa safi juu ya kichwa. Hivyo, wakamuvalisha kitambaa safi na nguo; naye malaika wa Yawe alikuwa akisimama pale.


“Kulikuwa mutu mumoja tajiri aliyezoea kuvaa nguo zenye kuwa laini sana za bei kali zaidi na aliyeishi katika raha siku zote.


Makundi ya wakaaji wa mbinguni wakamufuata, nao walikuwa wakipanda juu ya farasi weupe na kuvaa nguo safi nyeupe za kitani.


Yule bibi amepewa nguo ya kuvaa iliyofumwa na nyuzi nzuri zenye kungaa. (Nguo ile ni mufano wa matendo ya haki ya watu wa Mungu.)


Boazi akamwambia: “Tandika nguo yako chini.” Ruta akafanya hivyo. Boazi akamwanga shayiri yapata kilo kumi na tano, akamubebesha, naye akarudi katika muji.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις