Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Isaya 3:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Ataondoa mashujaa na waaskari, waamuzi na manabii, waaguzi na wazee,

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Isaya 3:2
12 Σταυροειδείς Αναφορές  

Hivi, Waisraeli wote walihesabiwa kufuatana na vizazi vyao na kuandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli. Watu wa Yuda wamepelekwa katika utumwa mpaka Babeli kwa sababu ya kutokuwa waaminifu.


Hatuoni tena vitambulisho vya kuwa kwako kati yetu, hatuna tena nabii yeyote, wala hakuna anayejua mwisho wa haya yote!


majemadari na wakubwa, washauri, wachawi wafundi na waganga wenye maarifa.


Sasa uwaulize wale watu waasi kama wanaelewa maana ya mufano huo. Uwaambie kwamba, mufalme wa Babeli alikuja Yerusalema, akamwondoa mufalme na wakubwa wake, akawapeleka Babeli.


Kisha akachagua mutu mumoja wa jamaa ya kifalme, akafanya naye mapatano, akamwapisha kiapo cha uaminifu. Aliwaondoa wakubwa wengine katika inchi akawapeleka mbali


Kisha Mungu akaniambia: Wewe mwanadamu, umeona mambo wazee wa Waisraeli wanayotenda kwa uficho, kila mutu katika chumba chake cha sanamu. Wanasema: Yawe hatuoni. Yawe ameiacha inchi.


Kisha akawaambia wale wengine mimi nikiwa ninasikia: Mupite katika muji, muue watu; musimwachilie mutu yeyote wala kuwa na huruma.


Nitamwua mutawala wa Moabu, pamoja na waongozi wote wa inchi hiyo. –Ni Yawe anayesema hivyo.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις