Isaya 16:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Mashamba ya Hesiboni yamefifia, vilevile na zabibu za Sibuma ambazo ziliwalewesha wakubwa wa mataifa. Zikafika Yaweri na kusambaa hata katika jangwa, chipukizi zake zikafika hata ngambo ya bahari. Δείτε το κεφάλαιο |