Hosea 13:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Waefuraimu wanaendelea kutenda zambi, wanajitengenezea sanamu za feza yenye kuyeyushwa, sanamu zinazotengenezwa kwa ufundi wao, zote zikiwa kazi ya wafundi. Wanasema: Muzitambikie! Wanaume wanabusu sanamu ya mwana-ngombe! Δείτε το κεφάλαιο |