Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Hosea 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Yawe akamwambia Hosea: Umupange mutoto huyo jina la “Si wangu”, maana ninyi si watu wangu, wala mimi si Mungu wenu.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Hosea 1:9
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kisha Yawe akaniambia: Hata kama Musa na Samweli wangesimama mbele yangu na kunisihi, singewahurumia watu hawa. Uwaondoe kabisa mbele yangu. Uwaache waende!


Kesho yake asubui, Pashuri akamufungua Yeremia toka minyororo ile. Yeremia akamwambia hivi: Yawe hakuiti tena jina lako “Pashuri”, lakini “Kitisho Kila Pahali”.


Gomeri alipomwachisha yule binti wake Asiyehurumiwa kunyonya, alipata mimba tena, akazaa mutoto mwingine mwanaume.


Siku hiyo, nitajibu kwa mahitaji ya mbingu ya kunyesha mvua, mbingu nazo zitajibu kwa mahitaji ya udongo. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις