6 Basi, Musa akatwaa magari na ngombe dume akawapa Walawi.
Uwaambie vilevile wapeleke kutoka hapa magari ya kukokotwa ya kuwaleta watoto wao wachanga na wake zao. Wala wasikose kumuleta baba yao.
Kisha, hema likashushwa, na watu wa ukoo wa Gersoni na wa Merari ambao walilibeba, walianza kuondoka.
Pokea matoleo haya kusudi yatumiwe katika kazi itakayofanywa kwa ajili ya hema la mukutano, uwape Walawi, kila mumoja kwa kadiri ya kazi yake.
Wagersoni wakapewa magari mawili na ngombe dume wane, kwa kadiri ya kazi yao,