Hesabu 4:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
8 Kisha, watavifunika vyombo hivi vyote kwa kitambaa chekundu, na juu yake wataweka kifuniko cha ngozi laini ya mbuzi. Halafu wataingiza miti yake ya kulibebea.
Utatengeneza meza ya mbao za mujohoro yenye urefu wa sentimetre makumi nane na nane, upana sentimetre makumi ine na ine na urefu kwenda juu sentimetre makumi sita na sita.
Watatwaa kitambaa cha rangi ya samawi ambacho watafunikia kinara cha taa na taa zake, makasi zake, sinia zake na vyombo vyote vinavyotumiwa kukiwekea mafuta.