Hesabu 11:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Kati ya Waisraeli kulikuwa kundi fulani lililoandamana nao ambalo lilikuwa na hamu kubwa ya kula nyama. Waisraeli wenyewe wakalia, wakisema: Heri kama tungeweza kupata nyama ya kula! Δείτε το κεφάλαιο |