Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Hesabu 10:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Wazao wa Haruni, makuhani, ndio watakaopiga baragumu hizo. Utaratibu huo utakuwa sharti la kufuata siku zote katika vizazi vyenu vyote.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Hesabu 10:8
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Sebania, Yosafati, Netaneli, Amasai, Zekaria, Benaya na Eliezeri, waliokuwa makuhani, waliwekwa kwa kupiga baragumu mbele ya Sanduku la Agano. Obedi-Edomu na Yehiya waliwekwa vilevile kuwa walinzi wa sanduku.


nao makuhani Benania na Yaharieli, wakachaguliwa wakuwe wakipiga baragumu kwa mufululizo mbele ya Sanduku la Agano la Mungu.


Musa akawapeleka kwa vita chini ya uongozi wa Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, akiwa na vyombo vya Pahali Patakatifu na baragumu za kutoa kitambulisho.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις