Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Esteri 3:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 “Ikikupendeza, ewe mufalme, amri itolewe, watu hawa waangamizwe. Nami ninaahidi, kama utaamuru hivyo, nitatoa kiasi cha kilo elfu kumi za feza iwekwe katika hazina ya mufalme.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Esteri 3:9
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Abrahamu akakubaliana na Efuroni, akamupimia kadiri ya feza alizotaja mbele ya Wahiti wote, feza vikoroti mia ine, kadiri ya vipimo vya wachuuzi wa wakati ule.


Mufalme akaivua pete yake, ambayo ilitumiwa kwa kupiga muhuri juu ya matangazo, akamupa adui wa Wayuda Hamani mwana wa Hamedata wa uzao wa Agagi.


Basi, Hamani akamwambia mufalme: “Kuna watu wa taifa moja wanaokuwa kila nafasi katika utawala wako, nao wako katika kila jimbo. Watu hao wana sheria zinazokuwa tofauti kabisa na za watu wengine. Vilevile, wao hawazitii sheria zako, kwa hiyo haikufaidii kwa kitu chochote kuwavumilia.


Mordekayi akamwelezea Hataki yote yaliyokuwa yamemupata, na kiasi kamili cha feza ambayo Hamani alikuwa ameahidi kulipa katika hazina ya mufalme kama Wayuda wote wangeangamizwa.


Maana, mimi na watu wangu tumeuzishwa kusudi tuuawe, tuangamizwe na kuteketezwa kabisa. Kama tungeuzishwa tu kuwa watumwa na wajakazi, ningekaa kimya wala nisingekusumbua. Ingawa tutateswa hakuna adui atakayeweza kulipa hasara hii kwa mufalme.”


Wakati huo, watu wamoja kati ya Wakaldea wakajitokeza na kuwashitaki Wayuda. Walimwambia mufalme Nebukadneza:


Alipoanza kufanya hesabu ile, wakamuletea mutumishi mumoja aliyekuwa na deni lake la mamilioni ya feza.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις