Akamupeleka jemadari mumoja kule katika muji ambaye alikuwa akiwaongoza waaskari katika vita, pamoja na watu watano wenye heshima wa mufalme ambao aliwakuta kule. Vilevile, akamupeleka katibu wa jemadari wa waaskari ambaye alichunga habari za kuandika waaskari wapya pamoja na watu makumi sita wenye heshima ambao aliwakuta Yerusalema.