Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Esteri 1:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Washauri wake wa kawaida walikuwa Karsena, Setari, Adimata, Tarsisi, Maresi, Marsena na Memukani – viongozi saba wa Persia na Media waliokuwa na vyeo vya juu kabisa katika utawala wake.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Esteri 1:14
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Akamupeleka jemadari mumoja kule katika muji ambaye alikuwa akiwaongoza waaskari katika vita, pamoja na watu watano wenye heshima wa mufalme ambao aliwakuta kule. Vilevile, akamupeleka katibu wa jemadari wa waaskari ambaye alichunga habari za kuandika waaskari wapya pamoja na watu makumi sita wenye heshima ambao aliwakuta Yerusalema.


Mimi pamoja na washauri wangu saba, tunakutuma uende ufanye uchunguzi kule Yuda na Yerusalema kuona kama Sheria ya Mungu wako ambayo umepewa inafuatwa kikamilifu.


Akawauliza hivi: “Kulingana na sheria, malkia Vashiti afanyiwe nini? Maana, nimewatuma matowashi wangu kwake, lakini yeye amekataa kuitii amri yangu, mimi mufalme Ahasuero!”


na kutoka katika muji alimukamata mukubwa mumoja ambaye alikuwa akiongoza waaskari katika vita, pamoja na watu saba washauri wa mufalme ambao aliwakuta katika muji. Alimukamata vilevile katibu wa jemadari mukubwa wa waaskari ambaye alishugulika na kazi ya kuandika waaskari wapya, pamoja na watu wakubwa makumi sita ambao aliwakuta katika muji Yerusalema.


“Mufanye angalisho, musimuzarau mumoja wa hawa wadogo; kwa sababu ninawaambia kwamba wamalaika wao wanaokuwa mbinguni wako siku zote karibu na Baba yangu anayekuwa mbinguni. [


Wataona uso wake na jina lake litaandikwa juu ya paji za nyuso zao.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις