Esteri 1:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Ilikuwa desturi ya mufalme kupata mashauri kutoka kwa wenye hekima, hivyo akawaita wanasheria na waamuzi kusudi wamushaurie la kufanya. Δείτε το κεφάλαιο |
Mufalme Belsasari akaamuru kwa sauti kwamba wachawi, Wakaldea wenye hekima na waaguzi waletwe. Walipoletwa, mufalme akawaambia wenye hekima hao wa Babeli: Yeyote atakayesoma maandiko haya na kunijulisha maana yake, atavalishwa nguo nzuri nyekundu za kifalme na mukufu wa zahabu katika shingo lake, na kupewa nafasi ya tatu katika ufalme.