Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Danieli 11:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Pahali pa miungu hiyo atamuheshimu mungu mulinzi wa kuta za muji, ambaye babu zake hawakumwabudu hata kidogo. Atamutolea zahabu, feza na mawe ya bei kali, na zawadi za bei kubwa.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Danieli 11:38
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Watu wote wanaotengeneza sanamu za miungu ni bure kabisa; na vitu hivyo wanavyovifurahia haviwafalii kitu chochote. Wanaoshuhudia hiyo miungu ya uongo ni vipofu na wajinga. Kwa hiyo hao watafezeheshwa!


Mufalme huyo hataijali miungu ya babu zake wala yule anayependwa na wanawake. Ataizarau miungu mingine yote, maana atajiweka kuwa mukubwa kuliko kila mumoja wao.


Atazishugulikia kuta za muji wake kwa musaada wa mungu wa kigeni. Wale wanaomutambua kuwa mufalme, atawaongezea heshima kubwa, atawapa vyeo vikubwa na kuwagawanyia inchi kama zawadi.


Kisha mutoto mumoja wa ukoo wa huyo binti atakuwa mufalme. Huyo atayashambulia makundi ya waaskari wa mufalme wa kaskazini na kuingia katika miji yao yenye kuzungukwa na kuta na kushinda.


Roho Mutakatifu anasema wazi kwamba katika nyakati za mwisho, watu wengine watapotoka katika imani yao na kufuata roho za udanganyifu na mafundisho ya pepo.


za zahabu, feza, mawe ya bei kali, ushanga, nguo zilizofumwa na nyuzi zuri pamoja na nguo nzuri za rangi nyekundu nyeusi na nyekundu sana, miti yote yenye kunuka vizuri, vyombo vyote vyenye kutengenezwa na pembe, na vyote vinavyochongwa na miti ya bei kali, na vyombo vyote vya shaba, vya chuma, vya mawe yenye kuchongwa,


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις