Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Danieli 11:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Huyu atafuatwa na mufalme mwingine ambaye atatuma mulipishaji wa kodi kupita katika nafasi ya utukufu ya ufalme wake. Mufalme huyo atauawa kisha siku chache, lakini si kwa hasira wala katika vita.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Danieli 11:20
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mufalme Yoyakimu akamupa Mufalme wa Misri feza na zahabu, lakini akailipisha inchi kodi kusudi aweze kutimiza mapenzi ya Mufalme wa Misri ya kupewa feza. Akawalipisha wanainchi feza na zahabu. Kila mumoja alitoa kufuatana na kiasi mufalme alichoamuru, naye akamupa Neko mufalme wa Misri.


Maana ukigandisha maziwa, utapata siagi; ukimupiga mutu kwenye pua, atatoka damu. Vilevile kuchochea hasira kunaleta ugomvi.


Pahali pa shaba nitakuletea zahabu, pahali pa chuma nitakuletea feza, pahali pa miti, nitakuletea shaba, na pahali pa mawe nitakuletea chuma. Amani itatawala juu yako, haki itakuongoza.


Mufalme atakayefuata atakuwa wa kuzarauliwa ambaye asiyeweza kupewa heshima ya kifalme, naye atakuja wakati watu wasiouzania na kunyanganya ufalme kwa werevu.


Kisha mutoto mumoja wa ukoo wa huyo binti atakuwa mufalme. Huyo atayashambulia makundi ya waaskari wa mufalme wa kaskazini na kuingia katika miji yao yenye kuzungukwa na kuta na kushinda.


Haya ni maono ambayo nabii Habakuki aliyofunuliwa na Mungu.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις