Amosi 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Huyo aliyezifanya nyota zinazoitwa Kilimia na Orioni, ambaye analigeuza giza nene kuwa muchana, na muchana kuwa usiku; yeye anayekusanya maji ya bahari na kuyamwanga juu ya inchi kavu, Yawe ndilo jina lake. Δείτε το κεφάλαιο |