16 Siku hiyo, hata waaskari hodari sana watakimbia mbio bila chochote. –Ni ujumbe wa Yawe.
Ee Mungu, wewe unatukuzwa sana; unajaa utukufu kuliko milima ya milele.
Miji yake itatekwa, kuta zake vilevile. Siku hiyo mioyo ya waaskari wa Moabu itakuwa kama vile moyo wa mwanamuke anayezaa.
lakini akaachilia shuka ile na kukimbia uchi.
Lakini Sisera akakimbia kwa miguu mpaka katika hema ya Yaeli, muke wa Heberi Mukeni. Alifanya hivyo kwa sababu kulikuwa amani kati ya mufalme Asikie wa Hazori na jamaa ya Heberi.