Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 5:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Daudi alifanya kama vile alivyoamuriwa na Yawe, naye akawapiga Wafilistini kutokea Geba mpaka Gezeri.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 5:25
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Nyuma ya hayo, Daudi aliwashinda Wafilistini. Akawanyenyekeza na kunyanganya utawala wa Wafilistini.


Daudi akafanya kama vile alivyoamuriwa na Mungu. Akawapiga waaskari wa Wafilistini kutokea Gibeoni mpaka Gezeri.


Kisha Waisraeli wakaenda, wakafanya kama vile walivyoambiwa na Musa na Haruni kulingana na amri ya Yawe.


Maana Yawe atasimama kama kule kwenye mulima Perasimu; atawaka hasira kama kule katika bonde la Gebeoni. Atatimiza mupango wake wa ajabu; atatenda kazi yake ya ajabu sana.


Hapo, mufalme Horamu wa Gerezi akaamua kuja kuwasaidia watu wa Lakisi. Lakini Yoshua akamwua pamoja na watu wake wote, hakuacha hata mutu mumoja.


mufalme wa Eguloni, mufalme wa Gezeri,


Waefuraimu hawakuwafukuza Wakanana walioishi Gezeri. Wakanana hao waliendelea kukaa kati ya watu wa Efuraimu mpaka leo, wakiwa watumwa wa kuwafanyia kazi za kulazimishwa.


Walipewa Sekemu, muji ambao ulikuwa vilevile muji wa kukimbilia usalama, pamoja na mbuga zake za malisho katika inchi ya milima ya Efuraimu, na Gezeri pamoja na mbuga zake za malisho,


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις