2 Samweli 23:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200221 Vilevile, aliua mutu mumoja jitu wa Misri. Mumisri yule alikuwa na mukuki, lakini Benaya alimwendea akiwa na fimbo tu, akamunyanganya mukuki ule, na kumwua Mumisri yule kwa mukuki wake mwenyewe. Δείτε το κεφάλαιο |