2 Samweli 23:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Kisha, mashujaa watatu kati ya wakubwa makumi tatu waliteremuka wakati wa mavuno, wakamufikia Daudi kwenye pango kule Adulamu. Wakati ule kundi la waaskari wa Wafilistini lilikuwa limepiga kambi katika bonde la Refaimu. Δείτε το κεφάλαιο |