Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 23:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Kisha, mashujaa watatu kati ya wakubwa makumi tatu waliteremuka wakati wa mavuno, wakamufikia Daudi kwenye pango kule Adulamu. Wakati ule kundi la waaskari wa Wafilistini lilikuwa limepiga kambi katika bonde la Refaimu.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 23:13
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Wafilistini walifika na kujitawanya kwenye Bonde la Refaimu.


Kwa mara ya pili, Wafilistini walifika tena na kujitawanya kwenye bonde la Refaimu.


Wafilistini wakafika wakaanza mashambulizi katika bonde la Refaimu.


Itakuwa kama wakati wa mavuno, wakati wamekwisha kuokota ngano, na kukusanya masuke katika mukono. Hakika, itakuwa kama bonde la Refaimu wakati wamekwisha kuvuna ngano.


Enyi wakaaji wa Maresa, Mungu atawaletea tena adui atakayewateka. Waongozi waheshimiwa wa Israeli watakimbilia ndani ya pango kule Adulamu.


mufalme wa Libuna, mufalme wa Adulamu,


Daudi akaondoka kule, akakimbilia kwenye pango karibu na muji wa Adulamu. Kaka zake na wandugu zake wengine waliposikia kwamba alikuwa pale, wote walikwenda kuungana naye.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις