35 Ananifundisha kupigana vita, mikono yangu iweze kuvuta upinde wa shaba.
Labda ataweza kuepuka upanga wa chuma, kumbe atachomwa na upanga wa shaba.
Zaburi ya Daudi. Atukuzwe Yawe, yeye ni: nguvu yangu, yule anayeizoeza mikono yangu kupigana vita na kuvifundisha vidole vyangu kugombana,
Mukuje muone matendo ya Yawe. Muone maajabu aliyofanya katika dunia.
Kisha nitauvunja upinde wako katika mukono wako wa kushoto, na mishale yako katika mukono wako wa kuume nitaiangusha chini.
Lakini Daudi akamwambia Goliati: “Wewe unanifikia kwa upanga na mikuki. Lakini mimi ninakufikia kwa jina la Yawe wa majeshi, Mungu wa waaskari wa Israeli, ambaye wewe umemutukana.