Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 22:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Aliniokoa kutoka adui yangu mwenye nguvu, kutoka hao walionichukia na kuwa na nguvu kunishinda.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 22:18
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Daudi alimwimbia Yawe wimbo huu siku ile Yawe alipomukomboa toka katika mikono wa waadui zake, na toka katika mukono wa Saulo.


Mungu alinyoosha mukono wake kutoka juu, akanitwaa, alininyanyua kutoka ndani ya maji mengi.


Walinishambulia nilipokuwa katika taabu, lakini Yawe alinikinga.


Sitaogopa maelfu ya watu wanaonizunguka kila upande.


Nitamwambia Yawe kwa moyo wangu wote: “Wewe, ee Yawe, hakuna anayekuwa kama wewe! Wewe unawaokoa wamasikini kutoka makucha ya wenye nguvu, wamasikini na wakosefu kutoka mikono ya wanyanganyi.”


Wewe unajua kutangatanga kwangu; unaweka machozi yangu ndani ya chupa. Yote yanakuwa katika kitabu chako.


Yeye ndiye aliyetuopoa toka hatari kubwa sana ya kufa, naye atatuopoa tena. Nasi tunamutumainia kwamba ataendelea kutuopoa,


Lakini Bwana alinisaidia, akanitia nguvu nipate kuitangaza Habari Njema kwa ukamilifu kusudi watu wa mataifa mengine wapate kuisikia. Nami nikaokolewa toka katika kinywa cha simba.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις