Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 2:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Abeneri akamwambia Asaeli mara ya pili: “Acha kunifuatilia. Kwa nini nikuue? Nitaweza kuonana na kaka yako Yoabu?”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 2:22
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Abeneri akamwambia: “Geukia upande wa kuume au kushoto, umukamate kijana mumoja na kutwaa vitu vyake.” Lakini Asaeli hakuacha kumufuatilia.


Abeneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimupeleka pembeni kwenye mulango sawa vile anataka kuzungumuza naye kwa siri. Hapo Yoabu akamukata Abeneri katika tumbo kwa sababu Abeneri alikuwa amemwua ndugu yake Asaeli, na Abeneri akakufa.


Anayeonywa mara nyingi na kuwa mugumu, ataangamia kwa rafla wala hatapata kupona.


Kila kitu kinachotukia kilikwisha kupangwa tangu zamani. Hali ya mwanadamu inajulikana, na tunajua kwamba muzaifu hawezi kubishana na mutu mwenye nguvu zaidi.


Halafu Saulo akamwuliza Mikali: “Kwa nini umenidanganya? Umemwacha adui yangu atoroke?” Naye Mikali akamujibu Saulo: “Aliniambia: ‘Uniache niende kusudi nisipate kukuua.’ ”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις