20 Abeneri alipoangalia nyuma na kumwona Asaeli, alimwambia: “Ni wewe Asaeli?” Yeye akamujibu: “Kweli, ni mimi.”
Asaeli alimufuatilia Abeneri moja kwa moja bila kugeuka upande wa kuume wala kushoto.
Abeneri akamwambia: “Geukia upande wa kuume au kushoto, umukamate kijana mumoja na kutwaa vitu vyake.” Lakini Asaeli hakuacha kumufuatilia.