Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 19:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Halafu Yoabu aliingia katika nyumba ya mufalme, akamwambia: “Leo umetupatisha haya sisi watumishi wako wote ambao leo tumeyaokoa maisha yako, maisha ya watoto wako wanaume, na maisha ya watoto wako wanawake, maisha ya wake zako na maisha ya wahabara zako.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 19:6
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mufalme alijifunika uso wake na kulia kwa sauti kubwa akisema: “Ole mwana wangu Abusaloma! Ole, Abusaloma, mwana wangu! Mwana wangu!”


Wewe unawapenda wale wanaokuchukia na unawachukia wale wanaokupenda. Umetuonyesha waziwazi leo kwamba majemadari na watumishi wako hawana maana kwako. Ninaona leo, kama Abusaloma angekuwa muzima, na sisi wote tungalikufa, ungeona ni sawa.


anayemwambia mufalme “Wewe ni wa ovyo!” na watu wenye heshima “Ninyi ni waovu!”


Paulo akasema: “Wandugu zangu, sikujua kwamba yeye ni Kuhani Mukubwa. Kwa maana imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Usimulaani mukubwa wa taifa lako.’ ”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις