Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 19:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kwa hiyo, siku hiyo, watu waliingia katika muji kimyakimya kama watu wanaorudi katika muji wakipata haya kwa kukimbia vita.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 19:4
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Yoabu mwana wa Zeruya alitambua kwamba moyo wa Daudi ulikuwa unamwelekea Abusaloma tu.


Lakini Daudi aliendelea, akapanda kwenye mulima wa Mizeituni akilia, bila viatu na kichwa chake kimefunikwa. Hata watu wote waliokuwa pamoja naye walifunika vichwa vyao, wakapanda mulima wakilia.


Ushindi wa siku hiyo uligeuzwa kuwa maombolezo kwa watu wote, waliposikia kwamba mufalme anamwombolezea Abusaloma.


Mufalme alijifunika uso wake na kulia kwa sauti kubwa akisema: “Ole mwana wangu Abusaloma! Ole, Abusaloma, mwana wangu! Mwana wangu!”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις