Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 19:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Ninakuomba uniruhusu mimi mutumishi wako, nikufie katika muji wangu, karibu na kaburi la baba yangu na mama yangu. Lakini huyu mutumishi wako Kimuhamu, umuruhusu aende pamoja nawe bwana wangu mufalme, na umutendee yeye lolote unaloona ni zuri.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 19:38
4 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mimi mutumishi wako nitakwenda nawe mwendo mufupi ngambo ya Yordani. Kwa nini, mufalme anilipe zawadi kubwa hivyo?


Mufalme akamwambia: “Kimuhamu atakwenda nami, na nitamutendea lolote unaloona ni zuri. Na lolote utakalotaka nikutendee, nitakutendea.”


“Lakini uwatendee mema wana wa Barzilayi, yule Mugileadi, wakuwe kati ya wale wanaokula kwenye meza yako, kwa sababu walinitendea mema wakati nilipomukimbia ndugu yako Abusaloma.


Basi, wakajiendea, wakakaa huko Geruti–Kimuhamu karibu na Betelehemu. Wakikusudia kuingia katika inchi ya Misri, kwa sababu


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις