2 Samweli 19:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200238 Ninakuomba uniruhusu mimi mutumishi wako, nikufie katika muji wangu, karibu na kaburi la baba yangu na mama yangu. Lakini huyu mutumishi wako Kimuhamu, umuruhusu aende pamoja nawe bwana wangu mufalme, na umutendee yeye lolote unaloona ni zuri.” Δείτε το κεφάλαιο |