Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 18:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Mufalme akasema: “Kaa pembeni, na usimame pale.” Basi, Ahimasi akaenda pembeni na kusimama kimya.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 18:30
2 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mufalme akamwambia: “Kijana Abusaloma ni muzima?” Ahimasi akasema: “Wakati Yoabu aliponituma mimi mutumishi wako, niliona kulikuwa kelele nyingi, lakini sikufahamu maana yake.”


Halafu yule Mwetiopia akafika; naye akasema: “Kuna habari njema kwako bwana wangu mufalme! Maana Yawe leo hii amekukomboa kutoka nguvu za wale wote waliokushambulia.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις