Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 18:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Huyo mulinzi akasema kwa sauti, akamwambia mufalme. Mufalme akasema: “Kama yuko peke yake, ni kusema ana habari.” Yule mutu akazidi kukaribia.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 18:25
3 Σταυροειδείς Αναφορές  

Daudi alikuwa ameikaa kati ya milango miwili ya muji. Naye mulinzi wa mulango akapanda juu ya ukuta mpaka juu ya mulango na alipoinua macho yake aliona mutu akikimbia peke yake.


Mulinzi akamwona mutu mwingine akikimbia, akasema tena kwa sauti kwenye mulango: “Angalia, mutu mwingine akikimbia peke yake!” Mufalme akasema: “Naye analeta habari.”


Bwana aliniambia: Kwenda uweke mulinzi; umwambie atangaze atakachoona.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις