Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 17:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Husayi akamwambia Abusaloma: “Wakati huu, shauri Ahitofeli alilolitoa si jema.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 17:7
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Wakati ule, Daudi aliambiwa kwamba hata Ahitofeli alikuwa mumoja wa waasi waliojiunga na Abusaloma. Lakini Daudi akaomba akisema: “Ee Yawe, ninakuomba uyafanye mashauri ya Ahitofeli yasifanikiwe.”


Urudi Yerusalema na kumwambia Abusaloma: ‘Nitakuwa mutumishi wako, ee mufalme, kama vile nilivyokuwa zamani mutumishi wa baba yako’. Kwa njia hiyo utanisaidia kupinga mashauri ya Ahitofeli.


Ahitofeli akamwambia Abusaloma: “Ulale na wale wahabara za baba yako ambao aliwaacha kuangalia nyumba yake. Kisha watu wote wa Israeli watakaposikia kwamba umechukizwa na baba yako, hapo watu wote wanaokuwa pamoja nawe watapata nguvu.”


Husayi alipofika kwa Abusaloma, Abusaloma alimwuliza: “Hivyo ndivyo Ahitofeli alivyosema. Tufanye kama vile alivyotushauria? Kama sivyo, basi, utuambie shauri lako.”


Lakini wewe, useme kwa ajili ya wote wanaokuwa bubu; na kutetea haki za wote wasiojiweza.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις