Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 17:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kisha, Abusaloma akasema: “Mumwite Husayi vilevile, yule mutu wa inchi ya Arki, tusikie neno analotaka kusema.”

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 17:5
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Wakati ule, Daudi aliambiwa kwamba hata Ahitofeli alikuwa mumoja wa waasi waliojiunga na Abusaloma. Lakini Daudi akaomba akisema: “Ee Yawe, ninakuomba uyafanye mashauri ya Ahitofeli yasifanikiwe.”


Shauri hilo la Ahitofeli lilimupendeza Abusaloma na wazee wote wa Israeli.


Husayi alipofika kwa Abusaloma, Abusaloma alimwuliza: “Hivyo ndivyo Ahitofeli alivyosema. Tufanye kama vile alivyotushauria? Kama sivyo, basi, utuambie shauri lako.”


Basi, akawauliza: “Ninyi munatoa shauri gani kusudi tuweze kuwajibu watu hawa walioniambia niwapunguzie muzigo ambao baba yangu aliwabebesha?”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις