Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 17:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Kwa hiyo, Daudi akaondoka na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakavuka muto Yordani. Ilipofika asubui hakuna mutu aliyebaki nyuma bila kuvuka muto Yordani.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 17:22
8 Σταυροειδείς Αναφορές  

Nyuma ya watumishi wa Abusaloma kuondoka, Yonatani na Ahimasi walitoka ndani ya kisima, wakaenda kwa mufalme Daudi na kumupasha habari. Wakamwambia: “Ondoka, uende ngambo ya muto, kwa sababu Ahitofeli amemushauria Abusaloma juu yako.”


Ahitofeli alipoona kwamba shauri lake halikufuatwa, alitandika punda wake, akaenda kwake, kwenye muji wake. Alipofika kule, alipanga vizuri mambo ya nyumba yake, akajitundika. Akakufa na kuzikwa kwenye kaburi la baba yake.


Basi, Daudi akaenda Mahanaimu. Abusaloma akavuka muto Yordani na watu wote wa Israeli.


Mbona ninaugua hivyo katika moyo? Kwa nini ninahangaika hivyo ndani yangu? Nitamutumainia Mungu, maana nitamusifu tena yeye anayekuwa musaada wangu na Mungu wangu.


Mwenye akili anaona hatari na kujificha, lakini wajinga wanajitokeza mbele na kuumia.


wakamwambia: Sisi watumishi wako tumewahesabu waaskari wote wanaokuwa chini yetu na tumeona kwamba hakuna hata mumoja wao anayekosekana.


“Muangalie! Ninawatuma kama kondoo katikati ya imbwa wa pori. Basi mukuwe waangalifu kama nyoka na wakamilifu kama njiwa.


Alisema vile kusudi maneno haya aliyosema yapate kutimia: “Sikupoteza hata mumoja kati ya wale ulionipa.”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις