Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 17:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Watumishi wa Abusaloma walipofika kwa yule mwanamuke, wakamwambia: “Ahimasi na Yonatani wako wapi?” Yule mwanamuke akawaambia: “Wamekwenda ngambo ya kijito.” Walipowatafuta na kuwakosa, wakarudi Yerusalema.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 17:20
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Urudi Yerusalema na kumwambia Abusaloma: ‘Nitakuwa mutumishi wako, ee mufalme, kama vile nilivyokuwa zamani mutumishi wa baba yako’. Kwa njia hiyo utanisaidia kupinga mashauri ya Ahitofeli.


Wao wakamujibu mufalme wa Misri: “Wanawake wa Waebrania si sawa na wanawake Wamisri. Wao ni hodari; mbele muzalishaji hajafika, wao wanakuwa wamekwisha kuzaa.”


Musiibe, musidanganye wala kuambiana uongo.


Sisera akamwambia: “Simama kwenye mulango wa hema. Mutu yeyote akikuja kukuuliza kama kuna mutu yeyote hapa, umwambie hakuna.”


Daudi alikwenda kwa kuhani Ahimeleki kule Noba. Ahimeleki akaenda kumupokea akiwa anatetemeka, akamwuliza: “Kwa nini umekuja hapa peke yako?”


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις