2 Samweli 17:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Abusaloma pamoja na watu wote wa Israeli wakasema: “Shauri la Husayi ni bora kuliko shauri la Ahitofeli.” Wakakataa shauri la Ahitofeli kwa sababu Yawe alikuwa amepanga kulishinda shauri jema la Ahitofeli kusudi aweze kumuletea Abusaloma hasara. Δείτε το κεφάλαιο |