2 Samweli 17:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Ikiwa atakimbilia katika muji fulani, basi, watu wote wa Israeli wataleta kamba na kukokotea mawe ya majengo yake mpaka katika bonde, na hakutabaki kitu chochote hata jiwe dogo la muji ule.” Δείτε το κεφάλαιο |