2 Samweli 15:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
4 Tena, Abusaloma alimwambia: “Ingekuwa heri mimi ningekuwa mwamuzi wa Waisraeli! Kila mutu mwenye mashitaki au shauri angekuja kwangu, nami ningemupa haki yake!”
Wanawaahidi watu wengine kwamba watakuwa huru ijapokuwa wao wenyewe ni watumwa wa upotovu. Kwa maana kila mutu ni mutumwa wa jambo lolote linalomutawala.