37 Basi, Husai, rafiki ya mufalme Daudi, akarudi katika muji wakati Abusaloma alipokuwa anaingia Yerusalema.
Kisha, Abusaloma akasema: “Mumwite Husayi vilevile, yule mutu wa inchi ya Arki, tusikie neno analotaka kusema.”
Ahitofeli alikuwa mushauri wa mufalme. Ahitofeli alipokufa, alikombolewa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiatari. Husai Mwarki, alikuwa rafiki ya mufalme. Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi la mufalme.
Kutoka Beteli, mupaka ulielekea Luzi ukapita Ataroti ambako Waarki waliishi.