Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 15:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Basi, Husai, rafiki ya mufalme Daudi, akarudi katika muji wakati Abusaloma alipokuwa anaingia Yerusalema.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 15:37
5 Σταυροειδείς Αναφορές  

Kisha, Abusaloma akasema: “Mumwite Husayi vilevile, yule mutu wa inchi ya Arki, tusikie neno analotaka kusema.”


Ahitofeli alikuwa mushauri wa mufalme. Ahitofeli alipokufa, alikombolewa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiatari. Husai Mwarki, alikuwa rafiki ya mufalme. Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi la mufalme.


Kutoka Beteli, mupaka ulielekea Luzi ukapita Ataroti ambako Waarki waliishi.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις