2 Samweli 15:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Wakati Abusaloma alipokuwa akitoa sadaka, alituma ujumbe katika muji wa Gilo kwa kumwita Ahitofeli wa muji wa Gilo, aliyekuwa mushauri wa mufalme Daudi. Uasi wa Abusaloma ukazidi kupata nguvu na watu waliojiunga naye wakazidi kuongezeka. Δείτε το κεφάλαιο |