Lakini Abusaloma alikuwa amekwisha kukimbia. Naye kijana aliyekuwa na zamu ya ulinzi, akaona kundi kubwa la watu wanakuja kutokea kwenye mulima katika barabara ya kutoka Horonaimu.
Basi, wakavuka kwenye kivuko kwa kuisindikiza jamaa ya mufalme na kumufanyia mufalme yote aliyoyapenda. Simei mwana wa Gera akakuja, akajitupa mbele ya mufalme, akainama uso mpaka chini, wakati mufalme alipokuwa karibu kuvuka muto Yordani.