Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




2 Samweli 13:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Amunoni na yule kijana wakamutosha inje na kufunga mulango kwa kifungio. Tamari alikuwa amevaa kanzu ndefu yenye mikono mirefu maana hivi ndivyo mabikira wa mufalme walivyovaa zamani.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




2 Samweli 13:18
7 Σταυροειδείς Αναφορές  

Yosefu alipowafikia wandugu zake, wao wakamvua kanzu yake.


Israeli alimupenda Yosefu kuliko watoto wake wote kwa sababu alikuwa amezaliwa wakati wa uzee wake. Alimupa Yosefu kanzu nzuri sana.


Kisha wakamupelekea baba yao ile kanzu, wakamwambia: “Tumeokota kanzu hii. Uangalie kama ni ya mwana wako, au hapana.”


Akamwita kijana wake aliyemutumikia, akamwambia: “Umutoshe mwanamuke huyu mbele yangu. Na ufunge mulango kwa kifungio.”


Kisha, Ehudu akatoka inje ndani ya baraza kisha kuifunga milango ya chumba hicho kwa ufunguo.


‘Bila shaka wanatafuta na kugawanyana vitu: binti mumoja au wawili kwa kila askari, nguo ya sufu ya rangi kwa ajili ya Sisera, nguo ya sufu iliyopindwa vizuri, na mikufu miwili yenye kufumwa kwa ajili ya shingo yangu!’


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις